Saturday, October 10, 2015

Reblog:TIGO YATOA MCHANGO WA MADAWATI 700 KWA SHULE ZA UMMA MKOANI MBEYA

Reblogged from bongodailyupdates.blogspot.com

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, (kushoto) akimkabidhi madawati yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, Tigo imetoa msaada wa madawati 700 yenye thamani ya 49 milioni kwa shule za msingi za wilaya za Rungwe, Mbozi na Mbeya Mjini.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro  (kulia) akiwa ameketi kwenye dawati na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tigo nchini, Diego Gutierrez, mara baada ya kampuni ya Tigo kumkabidhi  mhe. Kandoro madawati 700 yenye thamani ya Sh49 milioni kwa shule za msingi za wilaya za Rungwe, Mbozi na Mbeya Mjini .




No comments: