Wednesday, May 6, 2015

Reblog:mhe mizengo pinda akabidhi madawati

Habari Hii imetoka issamichuzi.blogspot.com




Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ameketi  katika moja ya madawati  yakisasa aliyo  yapokea kutoka kiwanda cha Jambo Plastics Ltd ya Jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuisaidia Skuli ya Kiembe samaki Zanzibar anaye shuhudia katikati waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe. Omari Yusufu Mzee. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Plastics Limited Rupa Suchak katika sherehe hizo za kukabidhi zimefanyika katika Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar ambako Waziri Mkuu alikuwa Zanzibar kikazi


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimshukuru Mkurugenzi mtendeji wa Jambo Plastics Ltd Rupa Suchak kwa kwa kuiunga serikali mkono kwa kutoa msaada wa madawati ya kisasa yaliyotengenezwa kwa Plastiki ili kupunguza  tatizo la madawati katika  Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar. Katikati wanaoshuhudia kushoto Waziri wa Elimu Zanzibar Alli Juma Shamuhuna na kulia ni Waziri wa Fedha Zanzibar Omari Yusufu Mzee Suchak sherehe hizo za kukabidhi zimefanyika katika Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Kusoma Habari Kamili Tembelea issamichuzi.blogspot.com

No comments: