Tuesday, October 7, 2014

Our quotes....



"Mwaka jana mwezi wa Oktoba tulikuwa Njombe ambako tulikabidhi madawati 680 ushirikiano wa kampuni ya simu ya Tigo. Mwisho wa mwezi wa Aprili tulikuwa Singida tulikabidhi madawati 264 na ushirikiano wa Shirika la Nyumba La Taifa (NHC), wiki 2 zilizopita tulikuwa Mwanza ambako tulikabidhi madawati 250 na leo hii tuko Shinyanga." - Shariff Maajar. Shinyanga 2013. HMT Partnership with ABG. 
#changia #changiadawati #HassanMaajarTrust #31Oktoba2014

No comments: